UDOM KUWAWEZESHA 2nd CLUSTER.
Kwa busara za serikali ya wanafunzi ya chuo kikuu cha Dodoma , uongozi umeamua kuwakopesha wanafunzi waliofika kuanza mwaka wa masomo mwezi Januari kiasi cha shilingi miamoja elfu ambapo kiasi hicho cha pesa kiwawezeshe wanafunzi hao kujikimu kwa mahitaji yao muhimu wakati wakiendelea kusubiri pesa yao kutoka bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa elimu ya juu HESLB.
Amahakika hilo nijambo la busara.
Na; jayson
No comments:
Post a Comment